Vanessa Mdee ameeleza alivyoipata collabo na Peter wa P-Squire - www.gbgraphixpro.com

Random Posts

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Vanessa Mdee ameeleza alivyoipata collabo na Peter wa P-Squire

Share This

Leo June 10 Vanessa Mdee ametambulisha wimbo wake mpya ambao amemshirikisha msanii wa Nigeria Peter Okoye wa kundi la P-Squire. Wimbo wake huo mpya unaitwa ‘Kisela’ na kupitia kwenye kipindi cha XXL ya Clouds FM Vanessa Mdee ameeleza alivyoipata collabo hiyo.

No comments:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages