Wabunge walivyosimama kumshangilia Rais mstaafu Kikwete - www.gbgraphixpro.com

Random Posts

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wabunge walivyosimama kumshangilia Rais mstaafu Kikwete

Share This

Mkutano wa saba wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza leo Dodoma. Mkutano huu ni kwa ajili kupitisha bajeti ya Serikali itakayowasilishwa bungeni June 15 mwaka huu.
Kati ya wageni waliotambulishwa leo mbungeni ni pamoja na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete, unaweza kubonyeza play hapa chini kutazama

No comments:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages