FB INSTA TWITTER Maneno 65 ya Nay wa Mitego kuhusu usalama wa maisha yake ulivyo kwa sasa - www.gbgraphixpro.com

Random Posts

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

FB INSTA TWITTER Maneno 65 ya Nay wa Mitego kuhusu usalama wa maisha yake ulivyo kwa sasa

Share This


Siku kadhaa zimepita tangu msanii Nay wa Mitego kuachiwa huru, ambapo alikuwa akishikiliwa na Jeshi la polisi kwa tuhuma za wimbo wake wa ‘WAPO’ kudaiwa kutokuwa na maadili.
Msanii Nay wa Mitego aliachiwa huru baada ya agizo la Rais Dk. John Magufuli kupitia kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe lakini leo April 3 2017 Nay kupitia instagram account yake ameandika maneno yanayoashiria kuwa hayuko katika hali ya usalama.

No comments:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages