Trump kazini…. Nchi 7 ambazo raia wake watazuiliwa kuingia Marekani - www.gbgraphixpro.com

Random Posts

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Trump kazini…. Nchi 7 ambazo raia wake watazuiliwa kuingia Marekani

Share This

Taarifa za baadhi ya maafisa wa bunge la Marekani (Congress) na mtaalamu katika Idara ya Uhamiaji zimeeleza kwamba Rais Trump leo Jumatano anatarajia kusaini miswada kadhaa ikiwemo ya kusimamisha kwa muda utoaji visa kwa raia wa nchi za Kiarabu.

No comments:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages