Serikali mpya ya Gambia imeyazuia magari kibao ya kifahari yaliyokuwa yakimilikiwa na Rais wa zamani wa nchi hiyo, Yahya Jammeh yaliyokuwa uwanja wa ndege ili yasafirishwe kumfuata kiongozi huyo aliyeenda kuishi uhamishoni. Pia kuna madai ya Rais huyo wa zamani kutoweka na mamilioni ya dola za nchi hiyo. Kwanini hii hutokea sana Afrika? - www.gbgraphixpro.com

Random Posts

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Serikali mpya ya Gambia imeyazuia magari kibao ya kifahari yaliyokuwa yakimilikiwa na Rais wa zamani wa nchi hiyo, Yahya Jammeh yaliyokuwa uwanja wa ndege ili yasafirishwe kumfuata kiongozi huyo aliyeenda kuishi uhamishoni. Pia kuna madai ya Rais huyo wa zamani kutoweka na mamilioni ya dola za nchi hiyo. Kwanini hii hutokea sana Afrika?

Share This

No comments:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages