Chelsea mabingwa EPL - www.gbgraphixpro.com

Random Posts

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Chelsea mabingwa EPL

Share This
Chelsea wakicheza ugenini wamechukua ubingwa wa Ligi Kuu ya England baada ya kupata ushindi wa 0-1 dhidi ya West Brom.
MitchyHaki miliki ya picha
Image captionMitchy Batshuayi alifunga bao pekee
Goli pekee lililoipa ushindi Chelsea lilifungwa na Michy Batshuayi katika dakika ya 82.
Chelsea wakicheza ugenini wamechukua ubingwa wa Ligi Kuu ya England baada ya kupata ushindi wa 0-1 dhidi ya West Brom.
Goli pekee lililoipa ushindi Chelsea lilifungwa na Michy Batshuayi katika dakika ya 82.
ChelseaHaki miliki ya picha
Image captionConte akishangilia ushindi na kikosi chake
Huu ni ubingwa wa mara ya tano wa EPL kwa Chelsea.
Tottenham ambao ndio waliokuwa wapinzani wa karibu wa Chelsea katika nafasi ya pili, walipoteza mchezo wao dhidi ya West Ham Mei 5, na hivyo kuifanya Chelsea kuhitaji kushinda mechi mbili kati ya nne zilizosalia.
Walishinda mechi yao dhidi ya Middlesbrough 3-0 Jumatatu Mei 8, na kukamilisha pointi walizohitaji kuchukua ubingwa kwa kuizaba West Brom siku ya Ijumaa Mei 12.

No comments:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages