
Bwana Yesu asifiwe nakukumbusha wewe nimtu wamuimu sana kwangu kama mgeni rasmi iletarehe ambayo tulikua tunasubiria imekaribia ni jumapili hii ya tarehe 7/5/2017 ktk ukumbi wasafina ile ibada kubwa yakuweka wakfu album yavidio ya UNASHNGAZA YESU napia tutakua nasadaka yawajane nayatima siku hiyo njoo Nayale mambo 5 na Mungu atakushangaza isaya 35:5,10 na Marko 7:37 ambatanisha kwenye hayo mahitaji Mungu akubaruki usikose kuanzia SAA 7 kamili mchana —
No comments:
Post a Comment