AJALI ARUSHA: Watano wafariki dunia baada ya kuangukiwa na mti wakiwa ndani ya nyumba - www.gbgraphixpro.com

Random Posts

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

AJALI ARUSHA: Watano wafariki dunia baada ya kuangukiwa na mti wakiwa ndani ya nyumba

Share This
Watu watano wamefariki dunia mkoani Arusha baada ya kuangukiwa na mti.Mti huo ulianguka kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.
      
                           Mungu azilaze roho za marehemu pema peponi.
                                                  
                                               Wamepitishwa hapa kimandolu kama saa nne hivi. Baba ni mlinzi amerudi asubuhi hii hakuwa na hiyo taarifa. Kulikuwa na gari inamsubiri hapa kituoni Kimandolu, alivyoshuka kwenye daladala tu wakamchukua na kuelekea nae hospitali, watu wamemwombolezea sana kwa hiyo surprise.
                          

Arus.jpeg

Aru.jpeg

Ar.jpeg

No comments:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages