
April 11, 2017 Mbunge wa viti maalum CCM Munde Tambwe alikuwa ni miongoni mwa Wabunge waliopata nafasi ya kuchangia mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na bajeti ya ofisi ya Waziri mkuu kwa mwaka 2017/2018 ambapo kwa uapande wake alionesha kuchukizwa na baadhi ya wanasiasa wanaokosoa jitihada za Rais wa nchi.
No comments:
Post a Comment