
Leo April 4 2017 Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ameshuhudia kiapo cha ubunge cha mkewe mama Salma Kikwete. Baada ya kiapo hicho kupitia account yake ya twitter ameyaandika haya….
>>>‘Leo asubuhi nimeshuhudia kiapo cha Mke wangu Mhe. Salma Rashid Kikwete kuwa Mbunge wa Kuteuliwa Bungeni Dodoma.Ni zamu yangu kumuunga mkono’
No comments:
Post a Comment