Polisi DSM wameongea kuhusu kukamatwa kwa Vanessa Mdee - www.gbgraphixpro.com

Random Posts

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Polisi DSM wameongea kuhusu kukamatwa kwa Vanessa Mdee

Share This

Kamishna wa Polisi kanda maalum ya Dar es salaam Simon Sirro leo March 10 2017 amekutana na waandishi wa habari na kutoa taarifa kuhusu zoezi linaloendelea la ukamataji wa watuhumiwa wa dawa za kulevya ambapo amethibitisha kuwa wamemkamata mwimbaji Vanessa Mdee ni baada ya kutajwa kwenye list ya mkuu wa mkoa wa DSM, Paul MakondaUnaweza kubonyeza play hapa chini kutazama

No comments:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages