
Hivi karibuni Mama wa mwimbaji wa BongoFleva, Alikiba alidai kuwa anamchukulia Jokate kama rafiki wa Zabibu “dada wa Alikiba” na kuhusu kuwa rafiki wa Alikiba hajui kwani hajatambulishwa. Alikiba naye alipoulizwa alidai Jokate si mpenzi wake bali rafiki yake tu.
No comments:
Post a Comment