
“unaonesha Upendo wa wazi na ni wachache wenye kukubali kubeba majukumu na ukubwa wa maisha ni kuyafata majukumu sio kuyakimbia Mungu akubariki Asante sana kwa mualiko pia nashukuru sana tuko pamoja mpaka mwisho mimi nakuombea na Mungu Akusimamie Amina uku mama uku mkwe uku ubavu wako kati Marafiki wako wa milelee watoto wako aisee “
No comments:
Post a Comment