Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT) Zitto Kabwe akizungumza na Wanahabari baada ya Wabunge wa Kambi ya Upinzani kutoka nje ya Bunge baada ya Naibu Spika wa Bunge kuamuru Mbunge wa jimbo la Serengeti Mkoa wa Mara, Marwa Ryoba (Chadema) kuamuriwa kutoka nje kufuatia kelele alizokuwa akipiga baada ya Naibu Spika kukataa Bunge kujadili mwongozo wa Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe aliyetaka ufafanuzi kuahusiana na kukamatwa kwa Wabunge wakiwa katika majukumu yao ya kazi za kibunge pasipo Ofisi ya Spika kujua.
Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT) Zitto Kabwe akizungumza na Wanahabari baada ya Wabunge wa Kambi ya Upinzani kutoka nje ya Bunge baada ya Naibu Spika wa Bunge kuamuru Mbunge wa jimbo la Serengeti Mkoa wa Mara, Marwa Ryoba (Chadema) kuamuriwa kutoka nje kufuatia kelele alizokuwa akipiga baada ya Naibu Spika kukataa Bunge kujadili mwongozo wa Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe aliyetaka ufafanuzi kuahusiana na kukamatwa kwa Wabunge wakiwa katika majukumu yao ya kazi za kibunge pasipo Ofisi ya Spika kujua.
No comments:
Post a Comment