Hakuna ambaye anapenda kipato kidogo na hata Tanzania hivi juzi tumesikia chama cha wafanyakazi ‘TUCTA’ kudai ongezeko la kima cha chini ili kifikie 750,000.
Wakati tukilisikilizia hilo kwa Tanzania, nimekutana na hii orodha ya nchi ambazo kuna ujira mdogo zaidi huku ikitajwa fedha ambayo mtu anaikusanya kwa mwaka mzima
No comments:
Post a Comment