Marais wa Marekani wakitoka White House huenda wapi? - www.gbgraphixpro.com

Random Posts

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Marais wa Marekani wakitoka White House huenda wapi?

Share This

Barack Obama ameondoka madarakani baada ya kuongoza Marekani mwa miaka minane, na akampisha Donald Trump.
Obama alifanyia utani maisha yake ya baada ya kustaafu na kusema angependa kufanyia kazi Spotify, lakini anataka kuendelea kujihusisha na siasa.
Lakini ingawa anatarajiwa kuandika kitabu, na kuhojiwa mara kwa mara kwenye runinga, hajaficha mengi kuhusu anayoyapanga.
Lakini labda anaweza kupata mawazi kutoka kwa baadhi ya marais 42 waliomtangulia?

No comments:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages