Barack Obama ameondoka madarakani baada ya kuongoza Marekani mwa miaka minane, na akampisha Donald Trump.
Obama alifanyia utani maisha yake ya baada ya kustaafu na kusema angependa kufanyia kazi Spotify, lakini anataka kuendelea kujihusisha na siasa.
Lakini ingawa anatarajiwa kuandika kitabu, na kuhojiwa mara kwa mara kwenye runinga, hajaficha mengi kuhusu anayoyapanga.
Lakini labda anaweza kupata mawazi kutoka kwa baadhi ya marais 42 waliomtangulia?
No comments:
Post a Comment