March 13 2016, mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alifungua rasmi ujenzi wa jengo la upasuaji wa Wagonjwa mahututi na mapumziko katika Hospitali ya Mwananyamala Dar es salaam na wakati huo alikua mkuu wa Wilaya ya Kinondoni.
Leo January 29 2017 GSM FOUNDATION ambao ndio wamejitolea kwa hali na mali kulijenga jengo hilo kwa pesa za kitanzania MILIONI 420, wamemkabidhi Paul Makonda likiwa limekamilika.

No comments:
Post a Comment